Udhibiti Uchumi
Udhibiti Uchumi
Idara hii inatoa huduma za msingi zifuatazo:
- Kufuatilia utekelezaji wa sheria na masharti ya uchumi kwenye huduma zinazodhibitiwa,
- Kupitia viwango na tozo na kutumia mamlaka ya Sheria kuwezesha upangaji gharama za huduma kwa maslahi ya wateja na watoa huduma zinazodhibitiwa,
- Kutengeneza njia za kubaini vigezo vya utendaji na viwango vya kwa huduma zinazotolewa,
- Kusimamia mchakato wa malalamiko ;
- Kusimamia tafiti na utafutaji taarifa muhimu kwa ajili ya kudhibiti sekta;
- Kutuatilia mienendo ya kiuchumi inayoweza kuathiri sekta inayodhibitiwa.
08 June, 2023
TASAC yashiriki Maonesho ya 10 ya Biashara Mkoani Tanga (Tanga Trade Fair) yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwahako jijini Tanga kuanzia tarehe 28 Mei hadi 06 Juni, 2023
08 June, 2023
TASAC yakutana na Idara ya Ajira za Mabaharia Bahamas, Uingereza kujadili masuala mbalimbali ya sekta ya usafiri majini hususan kutambuliana vyeti